Tuesday, April 24, 2012

KISA CHA DEREVA NA TRAFFIC

Alietie fora aligonga na aliua watu 25 kwa ajali, wakati wa mahojiano na traffic haya ndio
yalikuwa majibu yake:

TRAFFIC: Ilikuwaje?

DEREVA: Nilikuwa speed ghafla kundi la watu lilikuwa upande wa kushoto, na mtu mmoja upande
                 kulia. Na gari lilikuwa halina break, wewe ungefanyaje?

TRAFFIC: Ningegonga mmoja kuokoa wengi.

DEREVA: Ndio ilivyotokea. na yule mpumbavu alivyoona naelekea kwake akakimbilia kule kwa wengi
                  akifikiri sijamuona, nikamfuata kule kule alikokimbila.

No comments: