MAONO YANGU

Monday, August 13, 2012

DR. ULIMBOKA AREJEA SALAMA JIJINI DAR


Kiongozi wa jumuiya ya madaktari nchini Tanzania, Dk. Steven Ulimboka, amerejea leo nyumbani akitoka Afrika Kusini katika matibabu. Dk Ulimboka alipokelewa jana na madaktari wenzake, ndugu jamaa na marafiki, alipowasili Jumapili Agosti 12, 2012, kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akitokea kwenye matibabu Afrika Kusini. Alisema yuko fiti na anaweza kufanya shughuli zozote atakazopewa kuanzia sasa. 
Umati wa watu uliojitokeza kumpokea kumpokea.
DR.ULIMBOKA, ALIPOJERUHIWA, BAADA YA KUPONA NA KABLA YA KUJERUHIWA, 
Posted by Maono Yangu at Monday, August 13, 2012
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

BlogUpp!

About Me

Maono Yangu
View my complete profile

Total visitors

Blog Archive

Search This Blog

Feedjit

My Blog List

  • MICHUZI
    RAIS SAMIA AKUTANA NA BILIONEA ALIKO DANGOTE IKULU DAR ES SALAAM
    5 hours ago
Powered By Blogger

Popular Posts

  • Totoz za Kibongo tunapokwenda Ndipo? Sema ni yupi mwenye picha yenye Tatoo kati ya hawa?
  • Tutafakari haya....Misemo ya Kiswahili
      Waninunia mie.....umekosa mwenyewe magoli ya penati utayaweza ya kona....... Japo chungu we meza tu.... Kufika utafika hata kama u...
  • Berry White - Kwa Uchungu Naimba
  • Mnamjua huyu? Ndio Tandala au Kudu? Unajua wamejaa wapi?
  • MINJINGU - BABATI ROAD, PART READY IN USE
    SEHEMU YA BARABARA MAENEO YA KIONGOZI WATUMIAJI WANAONEKANA WAKIWA BARABARANI ENEO HILI LILIKUWA KOROFI SANA HASA WAKATI WA MVUA ...
  • Kim Kardashian preparing to compete in the Miami Dragon Boat Festival
    Now that's one steamy stretching session! Kim Kardashian displays her famous curves and cleavage as she warms up for a Miami boat race  ...
  • Mtoto Mtetezi wa elimu Pakistan anusurika kifo
    mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel, msichana Malala Yousafzai. Madaktari nchini Pakistan wamefanikiwa kutoa risasi kichwani mwa msichana ...
  • Nauliza kuna Muislam Hapa??????????/////
    Jamaa kajitoma mskitini ghafla, huku majasho yanamtoka! Mkononi kashika panga kali, Akauliza, "Nani muislamu hapa?,"   Watu k...
  • Hii kali - Wanawake Togo wasusia ngono kudai Mageuzi
      Isabelle Ameganvi anasema kususia ngono kutasaidia wanawake kusikika   Wanawake nchini Togo, wametakiwa kususia kitendo cha ...
  • Wanaume wenye kasoro hizi hujikweza sana kwa wanawake kwa njia mbalimbali, mfano, msgs, facebook, picha mbalimbali nk...
    1: Wanaume WAFUPI Hawa hawajiamini siku zote.... ni wengi ni wa show off kwa mademu, hasira kwao ni jadi... wanawake wengi huwachukia.... ...
WOTE MNAKARIBISHWA SANA
Travel theme. Powered by Blogger.