MAONO YANGU

Monday, August 13, 2012

DR. ULIMBOKA AREJEA SALAMA JIJINI DAR


Kiongozi wa jumuiya ya madaktari nchini Tanzania, Dk. Steven Ulimboka, amerejea leo nyumbani akitoka Afrika Kusini katika matibabu. Dk Ulimboka alipokelewa jana na madaktari wenzake, ndugu jamaa na marafiki, alipowasili Jumapili Agosti 12, 2012, kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akitokea kwenye matibabu Afrika Kusini. Alisema yuko fiti na anaweza kufanya shughuli zozote atakazopewa kuanzia sasa. 
Umati wa watu uliojitokeza kumpokea kumpokea.
DR.ULIMBOKA, ALIPOJERUHIWA, BAADA YA KUPONA NA KABLA YA KUJERUHIWA, 
Posted by Maono Yangu at Monday, August 13, 2012
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

BlogUpp!

About Me

Maono Yangu
View my complete profile

Total visitors

Blog Archive

Search This Blog

Feedjit

My Blog List

  • MICHUZI
    MBUNGE MUTASINGWA AWASHAURI WAANDISHI WA HABARI KUIBUA CHANGAMOTO ZA JAMII ILI ZIPATIWE UFUMBUZI
    55 minutes ago
Powered By Blogger

Popular Posts

  • Berry White - Kwa Uchungu Naimba
  • Rehab - Bartender Song (Sittin' At A Bar)
  • Tutafakari haya....Misemo ya Kiswahili
      Waninunia mie.....umekosa mwenyewe magoli ya penati utayaweza ya kona....... Japo chungu we meza tu.... Kufika utafika hata kama u...
  • IGP Mwema atoa taarifa rasmi kuhusu mauaji ya Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza Liberatus Barlow.
    Aliyekuwa kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza ACP Liberatus Barlow Usiku wa kuamkia Tarehe 13/ 10/ 2012 zimepatikana taarifa zilizothi...
  • TUCHEKE KIDOGO
    Wanameremeta, au vipi?
  • Unashangaa nini....?
    Baada ya kazi unahitaji kupata kiburudisho..... ndio kama hivi. Ukome kushangaa
  • Amazing Pictures - Easily spotted in Ruaha National Park
  • Heee!?? Huyu Mgonjwa vipi?
    Unasemaje juu ya mgonjwa huyu?
  • Incredible Goalkeeper Saves
  • All these women were men
    Yes, it’s true. All these women were men. I must confess that I’m really trying hard to understand what happens in man’s head (or vicevers...
WOTE MNAKARIBISHWA SANA
Travel theme. Powered by Blogger.