MAONO YANGU

Monday, August 13, 2012

DR. ULIMBOKA AREJEA SALAMA JIJINI DAR


Kiongozi wa jumuiya ya madaktari nchini Tanzania, Dk. Steven Ulimboka, amerejea leo nyumbani akitoka Afrika Kusini katika matibabu. Dk Ulimboka alipokelewa jana na madaktari wenzake, ndugu jamaa na marafiki, alipowasili Jumapili Agosti 12, 2012, kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akitokea kwenye matibabu Afrika Kusini. Alisema yuko fiti na anaweza kufanya shughuli zozote atakazopewa kuanzia sasa. 
Umati wa watu uliojitokeza kumpokea kumpokea.
DR.ULIMBOKA, ALIPOJERUHIWA, BAADA YA KUPONA NA KABLA YA KUJERUHIWA, 
Posted by Maono Yangu at Monday, August 13, 2012
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

BlogUpp!

About Me

Maono Yangu
View my complete profile

Total visitors

Blog Archive

Search This Blog

Feedjit

My Blog List

  • MICHUZI
    Mradi huo ulianza Aprili 2025 na unatarajiwa kukamilika Julai 2026.
    55 minutes ago
Powered By Blogger

Popular Posts

  • Tutafakari haya....Misemo ya Kiswahili
      Waninunia mie.....umekosa mwenyewe magoli ya penati utayaweza ya kona....... Japo chungu we meza tu.... Kufika utafika hata kama u...
  • Berry White - Kwa Uchungu Naimba
  • Rehab - Bartender Song (Sittin' At A Bar)
  • Kim Kardashian preparing to compete in the Miami Dragon Boat Festival
    Now that's one steamy stretching session! Kim Kardashian displays her famous curves and cleavage as she warms up for a Miami boat race  ...
  • mandwenye
  • MWANAFUNZI AUWAWA KISHA KUFUKIWA KATIKA SHIMO NYUMA YA CHOO
    Na  Luppy Kung’alo wa Jeshi la Polisi Dodoma . Mwanafunzi wa Darasa la Saba shule ya msingi Hogolo, aliyefahamika kwa jina...
  • Mawaidha - Usiache kuangalia hii video
  • KISA CHA DEREVA NA TRAFFIC
    Alietie fora aligonga na aliua watu 25 kwa ajali, wakati wa mahojiano na traffic haya ndio yalikuwa majibu yake: TRAFFIC: Ilikuwaje? DE...
  • Eden garden, Where Adam & Eve Leaved
    People who leave at the Eden garden, where Adam & Eve leaved. See how human and wild animal leave together. and the wild animal ie....
  • Utajiri wa viongozi wa dini unatisha............HII SASA NI BALAA
    UTAJIRI wa kutisha baadhi ya viongozi wa dini nchini umezua mjadala mzito katika jamii, huku baadhi ya watu wakisema hautokani na neema ya...
WOTE MNAKARIBISHWA SANA
Travel theme. Powered by Blogger.