MAONO YANGU

Monday, August 13, 2012

DR. ULIMBOKA AREJEA SALAMA JIJINI DAR


Kiongozi wa jumuiya ya madaktari nchini Tanzania, Dk. Steven Ulimboka, amerejea leo nyumbani akitoka Afrika Kusini katika matibabu. Dk Ulimboka alipokelewa jana na madaktari wenzake, ndugu jamaa na marafiki, alipowasili Jumapili Agosti 12, 2012, kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akitokea kwenye matibabu Afrika Kusini. Alisema yuko fiti na anaweza kufanya shughuli zozote atakazopewa kuanzia sasa. 
Umati wa watu uliojitokeza kumpokea kumpokea.
DR.ULIMBOKA, ALIPOJERUHIWA, BAADA YA KUPONA NA KABLA YA KUJERUHIWA, 
Posted by Maono Yangu at Monday, August 13, 2012
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

BlogUpp!

About Me

Maono Yangu
View my complete profile

Total visitors

Blog Archive

Search This Blog

Feedjit

My Blog List

  • MICHUZI
    NIRC, JKT ZAUNGANA KUONGEZA UZALISHAJI KUPITIA UMWAGILIAJI
    8 hours ago
Powered By Blogger

Popular Posts

  • Kim Kardashian preparing to compete in the Miami Dragon Boat Festival
    Now that's one steamy stretching session! Kim Kardashian displays her famous curves and cleavage as she warms up for a Miami boat race  ...
  • Tutafakari haya....Misemo ya Kiswahili
      Waninunia mie.....umekosa mwenyewe magoli ya penati utayaweza ya kona....... Japo chungu we meza tu.... Kufika utafika hata kama u...
  • Berry White - Kwa Uchungu Naimba
  • Nani asiyejua Kondom? Unajua zilianza lini na wapi?
    Nani asiyejua kazi ya Kondom?  Lakini unajua kifaa hicho ambacho siku hizo husambazwa bure kilianza lini na wapi? Tarehe halisi haifaha...
  • Hekaya za Abunuwas - Juha haliambiliki!Juha haliambiliki!
    SAFARI moja Juha alikaa mwisho wa tawi la mti, akilikata tawi hilo kwa kutumia msumeno. Akapita mtu mmoja akamtahadharisha kuwa kitendo a...
  • You want to know Dar es salaam? These are the facts.....PART 3
    SAFETY Dar es Salaam is generally safe. But one needs to take precautionary measures especially at night. Avoid carrying large amounts ...
  • Malawi, Tanzania zajadili mgogoro wa mpaka
    WATAALAMU wa mipaka kutoka Tanzania na Malawi wanakutana kujaribu kupata suluhu ya mgogoro wa mpaka kati ya nchi hizo ambao umedumu kwa m...
  • Mnamjua huyu? Ndio Tandala au Kudu? Unajua wamejaa wapi?
  • Harusi ya Tsvangirai yasitishwa..... Mhhhh!!!? huu mwaka wake
    Tsvangirai na mpenzi wake .   Mahakama nchini Zimbabwe imesitisha harusi ya Waziri Mkuu wa Zimbabwe Morgan Tsvangirai iliyotarajiwa...
  • You want to know Dar es salaam? These are the facts......PART 1
    Dar es Salaam is an Arabic word which means the 'harbour of peace'. It is the commercial capital and largest city of Tanzania. I...
WOTE MNAKARIBISHWA SANA
Travel theme. Powered by Blogger.