Wednesday, July 18, 2012
Tetesi ya kuzama meli leo huko Zanzibar
Kuna tetesi meli iliyobeba abiria takribani 200 imezama ikitokea Dar es salaam kwenda Zanzibar mchana huu, karibu na kisiwa cha Chumbe. Juhudi za uokoaji zinaendelea. Tutawajulisha habari zaidi
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment