Mwalimu wa somo la hesabu alimuuliza mwanafunzi wake "Dayness, kama kuna ndege mia kwenye
mti, ukichukua bunduki yako na kuwapiga ndege ishirini na saba, ndege
wangapi watabaki kwenye mti? Dayness akamjibu "Hakuna ndege
atakaebaki, wote wataruka na kukimbia kwa kuogopa kishindo cha
bunduki" Mwalimu akamwambia " Hapana, watabaki ndege sabini na
tatu. Hata hivyo nimependa jinsi unavyofikiri mbali zaidi...uko makini.
![]() |
Dayness akamwambia "Mwalimu na mimi nina swali,
kama kuna wanawake watatu kwenye
mgahawa wanakula 'cone icecream' mmoja anakula kwa kuilamba, mwingine anakula
kwa kuimega vipande na wa tatu anakula kwa kuinyonya, unadhani ni yupi
aliyeolewa (mwenye mume) kati ya hao? Mwalimu akamjibu "Bila shaka
ni yule anaekula kwa kuinyonya" Dayness akamwambia "hapana
mwalimu umekosea...ni yule mwenye pete ya ndoa, hata hivyo na
mimi nimependa sana jinsi unavyofikiri mbali zaidi..."
No comments:
Post a Comment