MAONO YANGU

Monday, August 13, 2012

DR. ULIMBOKA AREJEA SALAMA JIJINI DAR


Kiongozi wa jumuiya ya madaktari nchini Tanzania, Dk. Steven Ulimboka, amerejea leo nyumbani akitoka Afrika Kusini katika matibabu. Dk Ulimboka alipokelewa jana na madaktari wenzake, ndugu jamaa na marafiki, alipowasili Jumapili Agosti 12, 2012, kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akitokea kwenye matibabu Afrika Kusini. Alisema yuko fiti na anaweza kufanya shughuli zozote atakazopewa kuanzia sasa. 
Umati wa watu uliojitokeza kumpokea kumpokea.
DR.ULIMBOKA, ALIPOJERUHIWA, BAADA YA KUPONA NA KABLA YA KUJERUHIWA, 
Posted by Maono Yangu at Monday, August 13, 2012
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

BlogUpp!

About Me

Maono Yangu
View my complete profile

Total visitors

Blog Archive

Search This Blog

Feedjit

My Blog List

  • MICHUZI
    “UCHAGUZI MKUU WA 2025 NI HALALI” – MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI
    49 minutes ago
Powered By Blogger

Popular Posts

  • Kim Kardashian preparing to compete in the Miami Dragon Boat Festival
    Now that's one steamy stretching session! Kim Kardashian displays her famous curves and cleavage as she warms up for a Miami boat race  ...
  • DR. ULIMBOKA AREJEA SALAMA JIJINI DAR
    Kiongozi wa jumuiya ya madaktari nchini Tanzania, Dk. Steven Ulimboka, amerejea leo nyumbani akitoka Afrika Kusini katika matibabu. D...
  • YOUR AGE BY CHOCOLATE MATH
    Don ' t tell me your age;  you ' d probably lie anyway- but the Hershey Man will know!   YOUR AGE BY CHOCOLATE MATH   This is pre...
  • Hii kali - Wanawake Togo wasusia ngono kudai Mageuzi
      Isabelle Ameganvi anasema kususia ngono kutasaidia wanawake kusikika   Wanawake nchini Togo, wametakiwa kususia kitendo cha ...
  • Totoz za Kibongo tunapokwenda Ndipo? Sema ni yupi mwenye picha yenye Tatoo kati ya hawa?
  • Judy Boucher - That Night We Met
  • Yahoo!® for mobile
    Yahoo!® for mobile
  • Eric Wainaina feat Redykyulass - NCHI YA KITU KIDOGO
  • TIPS FOR WHY ALCOHOL SHOULD BE SAVED AT WORK
    It's an incentive to show up. It leads to more honest communications. It reduces complaints about low pay. Employees tell managemen...
  • Eco-Scan: The Serengeti Road Dispute
WOTE MNAKARIBISHWA SANA
Travel theme. Powered by Blogger.