MAONO YANGU

Monday, August 13, 2012

DR. ULIMBOKA AREJEA SALAMA JIJINI DAR


Kiongozi wa jumuiya ya madaktari nchini Tanzania, Dk. Steven Ulimboka, amerejea leo nyumbani akitoka Afrika Kusini katika matibabu. Dk Ulimboka alipokelewa jana na madaktari wenzake, ndugu jamaa na marafiki, alipowasili Jumapili Agosti 12, 2012, kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akitokea kwenye matibabu Afrika Kusini. Alisema yuko fiti na anaweza kufanya shughuli zozote atakazopewa kuanzia sasa. 
Umati wa watu uliojitokeza kumpokea kumpokea.
DR.ULIMBOKA, ALIPOJERUHIWA, BAADA YA KUPONA NA KABLA YA KUJERUHIWA, 
Posted by Maono Yangu at Monday, August 13, 2012
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

BlogUpp!

About Me

Maono Yangu
View my complete profile

Total visitors

Blog Archive

Search This Blog

Feedjit

My Blog List

  • MICHUZI
    THBUB YAANDAA MKUTANO WA WADAU KUJADILI HAKI ZA BINADAMU KATIKA BIASHARA
    3 hours ago
Powered By Blogger

Popular Posts

  • Rehab - Bartender Song (Sittin' At A Bar)
  • Berry White - Kwa Uchungu Naimba
  • Mama alala na Atengeneza Video ya Ngono na Mtoto Wake wa Kiume
    Mojawapo ya picha za Mistie Rebecca Atkinson kwenye Facebook Mwanamke mmoja wa nchini Marekani ame...
  • Tutafakari haya....Misemo ya Kiswahili
      Waninunia mie.....umekosa mwenyewe magoli ya penati utayaweza ya kona....... Japo chungu we meza tu.... Kufika utafika hata kama u...
  • Wabunge mafisadi watajwa - SPIKA AVUNJA KAMATI YA NISHATI, WAZIRI AELEZA WALIVYOITAFUNA TANESCO
    WAKATI wabunge wakitoa tuhuma nzito dhidi ya wenzao wanaodaiwa kujihusisha na ufisadi ndani ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), imeba...
  • Mnamjua huyu? Ndio Tandala au Kudu? Unajua wamejaa wapi?
  • KISA CHA DEREVA NA TRAFFIC
    Alietie fora aligonga na aliua watu 25 kwa ajali, wakati wa mahojiano na traffic haya ndio yalikuwa majibu yake: TRAFFIC: Ilikuwaje? DE...
  • Nani asiyejua Kondom? Unajua zilianza lini na wapi?
    Nani asiyejua kazi ya Kondom?  Lakini unajua kifaa hicho ambacho siku hizo husambazwa bure kilianza lini na wapi? Tarehe halisi haifaha...
  • SIKU ZA MWISHO ZA UHAI WETU
    SIKU ZA MWISHO ZA UHAI WETU HIZI HAPA, TUMEMUACHA MUNGU NA KUKIMBILIA YA IBILISI
  • GERALD LEVERT-I WAS MADE TO LOVE YOU
WOTE MNAKARIBISHWA SANA
Travel theme. Powered by Blogger.