Wednesday, September 26, 2012

JK awaapisha Mnadhimu Mkuu wa JWTZ na Mkuu wa JKT leo Ikulu Dar es salaam


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Luteni Jenerali Samuel Albert Ndomba leo Ikulu jijini Dar es salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mkuu wa Jeshi la kujenga Taifa (JKT) 

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe Shamsi Vuai Nahoda na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange katika picha ya pamoja na Mnadhimu Mkuu wa Jeshi Luteni Jenerali Samuel Albert Ndomba na Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Raphael Mugoya Muhuga
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya pamoja na wakuu wa vikosi vya Ulinzi na Usalama na waapishwa.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete katika picha pamoja na Luteni Jenerali Samuel Albert Ndomba na familia yake baada ya kiapo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Raphael Mugoya Muhuga na familia yake baada ya kiapo. 

No comments: