Saturday, September 15, 2012

Ukistaajabu ya Musa.... Utaona ya Firauni. Nani kasema hakuna uchawi?

Click image for larger version. 

Name: pic 1.jpg 
Views: N/A 
Size: 12.6 KB 
ID: 64889
Mchawi huyu hakujua kama jamaa alikuwa kategesha Camera chumbani kwake,
hapa kakutanika akiwa ana wanga.
Ila jamaa baada ya kuona picha hii asubuhi na alivyoamka amechoka, ilibidi ahame mji. 
Click image for larger version. 

Name: 423669_346243202134436_1435106242_n.jpg 
Views: N/A 
Size: 23.2 KB 
ID: 64890
Hii imetokea kwa mfugaji mmoja baada ya ng'ombe kula mazao ya kwenye
shamba la bibi kizee mmoja huko Sumbawanga. Jamaa wako fit kinoma.

No comments: