Thursday, January 3, 2013

SIJUI KUNA KIRUSI KIMEPITA HAPA MAONO YANGU...

Wadau kwa muda sasa nimekuwa kimya na mkawa hampati Visa na Habari motomoto sio kwa mapenzi yangu, Ila kuna kidudu mtu kaingia humu kwenye blog na amejaribu kucheza na mimi ki Digitali, Lakini nafikiri sasa atashangaa.

Tushirikiane tu. Nipo kwenye vita kali ya Digitali, ni Zaidi ya Vita Kuu ya Nne ya Dunia.

No comments: