Thursday, October 14, 2010

ZE BALLOON SAFARI

HOW MANY OF YOU HAVE BEEN ON THIS KIND OF SAFARI?
Balloon likiandaliwa kwa ajili kuruka
Tayari kwa kuruka. Abiria wanatakiwa kupanda wakati huu
Safari inaanza. Ni raha ajabu
Balloon Linavyoonekana likiwa juu
Balloon likiwa angani
Juu juu kabisa
Ukiangalia toka juu kwenye balloon, inapendeza sana
Mnapopita juu ya majengo, yanavyoonekana toka juu kwenye balloon

Tulipita juu ya hotel hii, mandhari ya kupendeza sana
Muda wa kutua ukafika. inaitwa "Crush landing" panakuwa na kazi kidogo kwa waoga
Safi sana tumetua salama. Vipi hujatamani tu kutumia usafiri huu?

No comments: