TUMEKWISHA NCHI HII KWA HAYA
1. Mmoja wa Majaji Walioteuliwa kwa Mujibu wa Tundu Lissu Kumbe ndo kwanza anasoma
shahada so darasani nae anasoma"What is Law of Torts" then anapata SUP...U can Only
find in TZ..
shahada so darasani nae anasoma"What is Law of Torts" then anapata SUP...U can Only
find in TZ..
2. Serikali Makini ina Watumishi Hewa 9,949 wanaopata Mshahara ambao Jumla ya hela
inayopotea ni kama Bil 70 ambazo zingetumika kulipa Madaktari na walimu, lakini Serikali
inasema haina hela, hawana hela ya kulipa walimu na Madaktari ila wanazo za Watumishi
hewa...Only u can find in TZ.
inayopotea ni kama Bil 70 ambazo zingetumika kulipa Madaktari na walimu, lakini Serikali
inasema haina hela, hawana hela ya kulipa walimu na Madaktari ila wanazo za Watumishi
hewa...Only u can find in TZ.
3. Serikali Ya Uingereza Ilirudisha Chenji ya RADA, Serikali ikasema hela inapeleka Kununulia
Vitabu kwa Ajili ya Shule Nchi nzima, Kumbe Kampuni iliyopewa tenda ya Kusambaza Vitabu
nchi nzima ilitoa rushwa ya dola 500,000 kupata tender Serikali ya Uingereza imeifungia
miaka 7, You Can Only find in TZ.
Vitabu kwa Ajili ya Shule Nchi nzima, Kumbe Kampuni iliyopewa tenda ya Kusambaza Vitabu
nchi nzima ilitoa rushwa ya dola 500,000 kupata tender Serikali ya Uingereza imeifungia
miaka 7, You Can Only find in TZ.
4. Wanafunzi Waliofaulu Darasa la Saba (get me well waliofaulu darasa la 7) kwenda
Sekondary Hawajui Kusoma wala Kuandika, Je waliofeli Watakuwa hawajui kufanya nini...You
Can Only Find In Tanzania
Sekondary Hawajui Kusoma wala Kuandika, Je waliofeli Watakuwa hawajui kufanya nini...You
Can Only Find In Tanzania
5. Washiriki wa Michezo ya Kimataifa (sijataja Mchezo wala mashindano) wako watano (5)
lakini wanaowasindikiza Washiriki wako 12, na kurudi bila medali hata moja. You can Only
find in Tanzania......
lakini wanaowasindikiza Washiriki wako 12, na kurudi bila medali hata moja. You can Only
find in Tanzania......
6. Sehemu Pekee ambayo Mtu anayetuhumu ulitaka Kumdhuru kwa Kukusumbua then
unaomba Umlinde (refer to Ulimboka's Case)..Yaani Mbwa Mwitu anaomba kazi ya Kulinda
Mbuzi......You Can Only find in Tanzania.."
unaomba Umlinde (refer to Ulimboka's Case)..Yaani Mbwa Mwitu anaomba kazi ya Kulinda
Mbuzi......You Can Only find in Tanzania.."
7. ......ongezeeni
Source: Jamii Forrums
No comments:
Post a Comment