Monday, August 27, 2012

Kweli maisha yamebadilika Zamani na siku hizi.......ona hii


Zamani wanaume ndio walikuwa wakiogopwa kwa kuwapiga na kuwanyanyasa
wake zao. Siku hizi inaelekea mambo yamekuwa kinyume...wanawake ndio
wanaogopewa zaidi kwa ubabe na vurugu...

                                           "bado fimbo sita..weka vizuri mgongo...shwain weee.."

No comments: