Wednesday, August 22, 2012

Mpaka wa Tanzania na Malawi - Msiojua angalieni hapa

Eti Malawi hii hapo juu ndio Ramani wanayoitambua. Ziwa Nyasa, kwao linaitwa Ziwa Malawi lote lipo kwao na Msumbiji tu. sisi hatuna hayo maji kabisa.

Hii sasa ndio ramani ya Tanzania tunayoitambua mpaka unapita
katikati ya Ziwa Nyasa

Mnasemaje waungwana??????

No comments: