|  | 
| Eti Malawi hii hapo juu ndio Ramani wanayoitambua. Ziwa Nyasa, kwao linaitwa Ziwa Malawi lote lipo kwao na Msumbiji tu. sisi hatuna hayo maji kabisa. | 
|  | 
| Hii sasa ndio ramani ya Tanzania tunayoitambua mpaka unapita katikati ya Ziwa Nyasa Mnasemaje waungwana?????? | 
 
 
 
No comments:
Post a Comment