Thursday, September 27, 2012

LIVEEE!!!Hali Tete uwanja karibu na soko la Kilombero. Tairi zachomwa moto, Polisi watoa onyo wananchi watawanyike kwa amani.



 Hivi Ndivyo wananchi wanavyo Choma matairi muda huu kwenye uwanja ulio jirani na soko la Kilombero ambao uliuzwa kinyemela na sasa wananchi wameurudisha na kuuufanya soko.
 Hapa Wananchi wakati wanachoma Mbao pamoja na kuchoma Matairi na wananchi wengine wanabomoa bomoa uzio
Muda mchache sasa Fire wamesha fika kwa ajili ya kuzima moto, wakati huo dalili za vurugu ndio zinanukia kuanza

No comments: