![]() |
Papa Benedict wa kumi na sita (Picha Kutoka maktaba) |
Kabla ya maombi yake, padri mmoja pia alisoma hotuba ya wiki kwa mara ya kwanza katika lugha ya Kiarabu. Maafisa katika makao makuu Vatican walisema kuwa hatua hiyo huenda itawafarijji wakristo Mashariki ya kati, wengi wao ambao wamekuwa wakiondoka kutoka eneo hilo wakisema kuwa wanahofia usalama wao.
No comments:
Post a Comment