| 
 Baadhi ya watu wakiangalia ajali ya daladala lenye namba za usajili T 871 BGY  
linalofanya safari zake kati ya Mwenge na Temeke lililogongana na pikipiki katika  
makutano ya barabara ya Chang’ombe na Nyerere jijini Dar es Salaam leo.  
(Picha na Habari Mseto Blog) | 
No comments:
Post a Comment