Tuesday, August 14, 2012

DAR ES SALAAM - BODABODA YAGONGA DALADALA, DEREVA WAKE AFA PAPOHAPO


 Baadhi ya watu wakiangalia ajali ya daladala lenye namba za usajili T 871 BGY 
linalofanya safari zake kati ya Mwenge na Temeke lililogongana na pikipiki katika 
makutano ya barabara ya Chang’ombe na Nyerere jijini Dar es Salaam leo. 
(Picha na Habari Mseto Blog)
























No comments: