Kesho yake mwalimu akaingia darasani na kutangaza "wale waliosoma injili ya Marko sura ya 17 wapite mbele". Bila kuchelewa robo tatu ya darasa wakainuka katika viti na kwenda mbele ya darasa. Mwalimu huyo akatangaza tena "Nyie mliobaki kwenye viti mnaweza kubeba vitabu vyenu na kwenda nje maana hawa ndio waongo ninaotaka kuzungumza nao"
Injili ya Marko ina sura 16 tu...
No comments:
Post a Comment